Ukarabati dimba la Mkapa unaendelea

Joel JJ By Joel JJ β€’ 18th September 2023


Ukarabati dimba la Mkapa unaendelea

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Saidi Yakubu leo amefanya ziara Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam kujionea ukarabati wa uwanja huo ambao utatumika kwenye ufunguzi wa michuano ya African Football League (AFL) Oktoba 20, 2023

Simba itaiwakilisha Tanzania katika michuano hiyo ambayo inafanyika kwa mara ya kwanza barani Afrika ikihusisha timu nane

Simba itacheza mechi ya ufunguzi dhidi ya Al Ahly ya Misri


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.