Simba - Coastal Union - Local

Simba vs Coastal Union kupigwa dimba la Uhuru

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Sep 2023
Simba vs Coastal Union kupigwa dimba la Uhuru

Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Simba dhidi ya Coastal Union ambao utapigwa kesho Alhamisi Septemba 21, utachezwa katika uwanja wa Uhuru kama ratiba ilivyopangwa awali

Kulikuwa na taarifa ya mchezo huo kupelekwa uwanja wa Azam Complex, lakini kulingana na ratiba iliyotolewa na Bodi ya Ligi, mchezo huo umebaki dimba la Uhuru ambalo Simba walichagua kulitumia wakati uwanja wa Benjamin Mkapa ukiendelea na ukarabati

Kikosi cha Simba kilirejea juzi kutoka Zambia baada ya mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Power Dynamos uliomalizika kwa matokeo ya sare ya mabao 2-2

Wekundu hao wa Msimbazi waliingia moja kwa moja kambini na leo watakamilisha maandalizi yao tayari kuwakabili Coastal Union ambao tayari wako jijini Dar es salaam

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
15h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
21h ago
READ MORE β†’