Simba - Yanga - Azam - Local

Baleke akakaa kileleni ufungaji bora

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Sep 2023
Baleke akakaa kileleni ufungaji bora

Mshambuliaji wa Simba Jean Baleke jana alifunga mabao matatu 'hat-trik' katika mchezo wa ligi kuu ambao Simba walishinda mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union

Baleke amefikisha mabao matano akiongoza mbio za ufungaji bora baada ya mechi tatu kupigwa

Baleke amepachika bao katika kila mchezo ambao Simba wamecheza kwenye ligi msimu huu

Anafuatiwa na Feisal Salum 'Fei Toto' ambaye alifunga hat-trik ya kwanza msimu huu katika mchezo dhidi ya Tabora United

Stephane Aziz Ki, Max Nzengeli, Mudathir Yahya wote wa Yanga, Iddi Nado, Prince Dube (Azam Fc), Adam Adam (Mashujaa), Matheo Anthony (Mtibwa Sugar) na John Ben wa Tabora United ni miongoni mwa wachezaji ambao wamepachika mabao mawili msimu huu

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’