Mlinda lango wa Hispania David de Gea, ambaye ni mchezaji huru baada ya kuondoka Manchester United msimu wa joto, huenda akastaafu ikiwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 hatapokea ofa ya kuwa nambari moja katika klabu kubwa. (Guardian)
..... download Xtra 90 App



