Yanga yatinga makundi ligi ya mabingwa

Joel JJ By Joel JJ β€’ 30th September 2023


Yanga yatinga makundi ligi ya mabingwa

Yanga imetinga hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Merrikh katika mchezo wa mkondo wa pili uliopigwa uwanja wa Azam Complex

Bao lililofungwa na Clement Mzize kwenye kipindi cha pili liliihakikishia Yanga ushindi wa jumla wa mabao 3-0

Mzize aliweka kambani bao hilo kwa kichwa akiunganisha krosi ya Joyce Lomaliza Mutambala

Ilikuwa ni Aziz Ki Day iliyofana mashabiki wa Yanga wakifurika dimba la Azam Complex kuhanikiza ushindi huo

Ni takribani miaka 25 imepita tangu Yanga icheze hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa, Wananchi wamerejea katika hatua hiyo


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.