Yanga - Simba - Local

Yanga, Simba zinaweza kukutana makundi CAF CL

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Oct 2023
Yanga, Simba zinaweza kukutana makundi CAF CL

Ijumaa Oktoba 06 2023 nchini Afrika Kusini itafanyika droo ya makundi ya klabu bingwa Afrika (CAF Champions League) na kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Confederation Cup)

Tanzania kama nchi itawakilishwa na timu mbili (2) za Simba na Yanga

Timu zilizofuzu mapaka sasa makundi ya klabu bingwa Afrika ni 15 ambazo ni Al Ahly (Misri), Wydad (Morocco), Pyramids (Misri), TP Mazembe (DR Congo), Jwaneng Galaxy (Botswana), Petro de Luanda (Angola), Esperance de Tunis (Tunisia), Etoile Saleh (Tunisia) na Medema SC (Ghana)

Nyingine ni Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini), Yanga SC (Tanzania), Simba SC (Tanzania), FC Nouadhibou (Mauritania), Asec Mimosas (Ivory Coast) na Al Hilal (Sudani)

Bado timu moja tu ambayo itafahamika leo Ila kwa asilimia 90 itakuwa CR Belouzdad ya Algeria kwani walishinda kwa magoli 3-1 ugenini na leo ndio mchezo wa marudiano

Draw hufanyika kwa timu 16 kwa kupangwa kwenye pot 4 ikiwa killa POT kuwa na timu 4 na timu zinapangwa kulingana na msimamo wa   klabu kwa msimu mitano

Timu zinazokuwa kwenye Pot moja hazitakutana katika hatua ya makundi lakini timu yoyote inaweza kupangwa dhidi ya tmu yoyote kutoka Pot nyingine

Kwa kuzingatia msimamo wa klabu kwa misimu mitano iliyopita, Simba itakuwa Pot 2 wakati Yanga itakuwa Pot 3, maana yake ni kuwa Simba na Yanga zinaweza kupangwa kundi moja

Pot 1 itakuwa na timu za Al Ahly, Mamelodi Sundowns, Wydad Athletic na Esperance

Pot 2 itakuwa na timu za Pyramids, Petro Atketico, CR Belouisdad na Simba

Pot 3 itakuwa na timu za TP Mazembe, Asec Mimosas, Al Hilal na Yanga

Pot 4 itakuwa na timu za Etoile Sahel, Jwaneng Galaxy, Fc Nouadhibou na Medeama

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
34m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’