Simba - Local

Manula aanza mazoezi Simba

Joel JJ By Joel JJ
3 Oct 2023
Manula aanza mazoezi Simba

Klabu ya Simba imethibitisha kuwa mlinda lango wake namba moja Aishi Manula ameanza mazoezi ya timu

Ni baada ya kuwa nje ya uwanja  kwa takribani miezi minne akiuguza jeraha la nyonga baada ya kufanyiwa upasuaji Afrika Kusini

Manula alipata majeraha hayo mwisho mwa msimu uliopita katika mchezo wa kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) ambao Simba ilicheza dhidi ya Ihefu Fc uwanja wa Azam Complex

Kipa huyo ambaye pia ni tegemeo katika timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' anaweza kuanda kuonekana uwanjani mapema na pengine mchezo ambao Simba watacheza na Al Ahly kwenye AFL Oktoba 20, anaweza kuwa langoni

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
1h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
1h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
2h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
3h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
3h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
3h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
3h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
5h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
15h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
15h ago
READ MORE →