Simba - Local

Simba yaipania Prisons

Joel JJ By Joel JJ
4 Oct 2023
Simba yaipania Prisons

Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira amesema kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons ambao utapigwa kesho Alhamisi katika uwanja wa Sokoine

Akizugumza katika Mkutano na Wanahabari mapema leo, Robertinho alisema wanatambua ugumu wa mchezo huo kwani mechi za nyuma walizocheza katika uwanja wa Sokoine dhidi ya Prisons hazijawahi kuwa rahisi

"Nashukuru tumefika salama hapa Mbeya na tuko tayari kwa mchezo dhidi ya Tanzania Prisons hapo kesho"

"Tunawaheshimu Prisons kwani nakumbuka msimu uliopita walitupa mechi ngumu lakini wakati huu tumejipanga"

"Tumejipanga kucheza soka la ushindani kuwapa burudani mashabiki wetu na kushinda mchezo huu," alisema Robertinho

Simba ilitua mkoani Mbeya jana na leo inatarajiwa kufanya mazoezi yake ya mwisho katika uwanja wa Sokoine

Katika mchezo huo Simba itawakosa wachezaji wake watatu, Hennock Inonga, Aubin Kramo na mlinda lango Aishi Manula ambaye bado anaendelea kuimarika baada ya kuwa nje kwa muda mrefu

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
12m ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
26m ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
1h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
1h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
1h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
1h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
2h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
4h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
14h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
14h ago
READ MORE →