Simba - Singida - Local

Simba yaendeleza ubabe ligi kuu, Prisons yafufuka

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Oct 2023
Simba yaendeleza ubabe ligi kuu, Prisons yafufuka

Wekundu wa Msimbzi Simba Sc wamerudi kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Singida FG katika mchezo uliopigwa uwanja wa LITI

Mabao ya Saido Ntibazonkiza na Moses Phiri yalitosha kuihakikishia Simba alama tatu muhimu ambazo zimewarejesha juu ya msimamo baada ya kufikisha alama 15

Bao la kufutia machozi kwa upande wa Singida FG lilifungwa na Deus Kaseke

Ni ushindi wa tano mfululizo kwa Simba ambayo kwa hakika imeonyesha dhamira yake, inautaka ubingwa msimu huu

Nayo Tanzania Prisons imezinduka na kupata ushindi wake wa kwanza msimu huu ikiichapa Mtibwa Sugar mabao 3-2

Prisons wameondoka mkiani mwa msimamo wakichupa mpaka nafasi ya 13 wakifikisha alama 4

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
32m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’