Mjumbe wa bodi ya Real Madrid anasema anatumai mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe atachagua kujiunga na klabu hiyo ya Uhispania wakati mkataba wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 na Paris St-Germain utakapokamilika msimu ujao wa joto. (AS, kupitia Remontada Blanca – In Spanish)
..... download Xtra 90 App



