Droo ya makundi ya michuano ya Afcon 2023 inafanyika leo huko Ivory Coast muda ni saa 4 usiku kwa saa za Tanzania
Tanzania imewekwa Pot 4 sambamba na Guinea Bissau, Msumbiji, Namibia, Angola na Gambia
Nchi zitapangwa katika makundi sita ambapo kila kundi litakuwa na timu nne





