Singida FG yashusha kocha kutoka Brazil

Joel JJ By Joel JJ β€’ 15th October 2023


Singida FG yashusha kocha kutoka Brazil

Singida FG leo imemtambulisha Ricardo Ferreira raia wa Brazil kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo

Ricardo ana uzoefu na soka la Afrika kwani amewahi kuzinoa Al Hilal, Al Merrikh zote za Sudan pamoja na Ismaily ya Misri

Ricardo ametua kuchukua nafasi ya Ernst Middendorp aliyeondoka baada ya kudai kuingiliwa kwenye majukumu yake

Ricardo anaungana na Robertinho Oliveira kuwa kocha wa pili kutoka Brazil kufundisha ligi kuu ya NBC msimu huu


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.