Barcelona wana nia ya kumsajili mshambulizi wa Manchester United Jadon Sancho mwezi Juni, ikiwa wanaweza kukubaliana na dili la bei iliyopunguzwa. Winga huyo wa Uingereza mwenye umri wa miaka 23 pia amehusishwa na uhamisho wa mkopo kwenda Juventus. (Sport - in Spanish)
..... download Xtra 90 App



