Stars kupimana ubavu na Sudan leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 15th October 2023


Stars kupimana ubavu na Sudan leo

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' iko Saudi Arabia ambapo leo Jumapili, itachuana na Sudan katika mchezo wa Kimataifa wa kirafiki

Mchezo huo ambao uko kwenye kalenda ya FIFA, matokeo yake yana umuhimu mkubwa kwenye kuboresha viwango 'ranking' za FIFA

Stars ilitua Saudi Arabia jana tayari kwa mchezo huo ambao utapigwa saa 1 usiku

Kocha Mkuu wa Stars Adel Amrouche alisafiri na kikosi cha wachezaji 28


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.