Rais Samia aahidi Milioni 10 kwa kila goli Simba vs Al Ahly

Joel JJ By Joel JJ • 18th October 2023


Rais Samia aahidi Milioni 10 kwa kila goli Simba vs Al Ahly

Maokoto yanazidi kuongezeka kwa Simba! Ni baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan kuahidi kitita cha Tsh Milioni kwa kila goli litakalofungwa kwenye AFL kati ya Simba dhidi ya Al Ahly

Mchezo huo wa kihistoria kwenye ufunguzi wa mashindano ya African Footbal League, utapigwa Ijumaa, Oktoba 20 katika uwanja wa Benjamin Mkapa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.