Maokoto yanazidi kuongezeka kwa Simba! Ni baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan kuahidi kitita cha Tsh Milioni kwa kila goli litakalofungwa kwenye AFL kati ya Simba dhidi ya Al Ahly
Mchezo huo wa kihistoria kwenye ufunguzi wa mashindano ya African Footbal League, utapigwa Ijumaa, Oktoba 20 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa zawadi ya Tsh. 10 milioni kwa kila goli ambalo tutafunga katika mchezo wa African Football League dhidi ya Al Ahly ambao utachezwa siku ya Ijumaa Oktoba 20, 2023 saa 12:00 jioni katika Uwanja wa… pic.twitter.com/GfLvU9VNAx
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) October 18, 2023



