Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa African Football League, Al Ahly wamewasili nchini usiku wa kuamkia leo kuelekea mtanange huo wa kukata na shoka ambao utapigwa kesho Ijumaa katika uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App
Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa African Football League, Al Ahly wamewasili nchini usiku wa kuamkia leo kuelekea mtanange huo wa kukata na shoka ambao utapigwa kesho Ijumaa katika uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App