Bodi ya Ligi imeusogeza mbele kwa siku moja mchezo kati ya Yanga dhidi ya Azam Fc uliokuwa upigwe Jumapili, Oktoba 22, sasa utapigwa Jumatatu, Oktoba 23 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Mabadiliko hayo yametokana na kuingilia kwa ratiba ya mchezo wa AFL kati ya TP Mazembe dhidi ya Esperance ambao utapigwa Oktoba 22 katika uwanja wa Benjamin Mkapa




