Wakati Azam ikiwa mgeni wa Yanga leo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, kocha wa kikosi hicho, Youssouph Dabo amesema licha ya ugumu uliopo ila sababu itakayowapa ushindi ni nidhamu kwa wachezaji kuanzia kujilinda hadi ushambuliaji
..... download Xtra 90 App



