Baada ya kuondoshwa kwenye michuano ya African Football League, kikosi cha Simba kimerejea kutoka Misri mchana wa leo, Meneja wa Habari na Mawasiliano Ahmed Ally amesema sasa nguvu zote wanazihamishia kwenye mechi zinazofuata katika ligi kuu ya NBC
..... download Xtra 90 App



