Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Yanga, zimethibitisha kuwa mlinda lango Metacha Mnata bado hajarejea kunako kikosi hicho baada ya Kocha Miguel Gamondi 'kumuwekea ngumu' kwa kile kilichoelezwa kuchelewa kurudi kutoka kwenye majukumu ya timu ya Taifa
..... download Xtra 90 App



