Coastal - Mashujaa - Tabora - JKT - Local

Coastal Union yazinduka Tanga, yaichapa Mashujaa 2-0

Joel JJ By Joel JJ
β€’
25 Oct 2023
Coastal Union yazinduka Tanga, yaichapa Mashujaa 2-0

Wagosi wa Kaya Coastal Union wamezinduka katika uwanja wa nyumbani, Mkwakwani wakiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mashujaa Fc katika mchezo wa ligi kuu ya NBC

Mabao ya Bakari Selemani na Lucas Kikoti (p) yaliihakikishia Coastal Union ushindi wao wa kwanza msimu huu

Coastal Union wangeweza kuibuka na ushindi mnono zaidi wakipoteza nafasi nyingine kupitia mkwaju wa penati

Huo ulikuwa ushindi wa kwanza kwa Coastal Union msimu huu pia wakifunga kwenye uwanja wa nyumbani kwa mara ya kwanza msimu huu

Mashujaa Fc iliyoanza vyema msimu, leo imepoteza mchezo wa pili mfululizo

Aidha JKT Tanzania nayo ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo uliopigwa uwanja wa Azam Complex mapema

Bao pekee la JKT Tanzania lilifungwa na Maka Edward kwenye dakika ya 17

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’