Manchester United wabadili msimamo na kumtaka David de Gea arejee kwa mkataba wa muda mfupi - miezi minne baada ya kumruhusu mlinda lango huyo wa zamani wa Uhispania, 32, kuondoka mwishoni mwa kandarasi yake. (Sun) Manchester City inachunguza uwezekano wa kumsajili winga wa Bayern Munich Jamal Musiala, 20. (Sport - in Spanish)
..... download Xtra 90 App



