Azam - Yanga - Singida - Namungo - Local

Yanga, Singida BS, Azam, Namungo Fc vitani ligi kuu NBC

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Oct 2023
Yanga, Singida BS, Azam, Namungo Fc vitani ligi kuu NBC

Ligi Kuu Bara leo inaendelea tena katika viwanja vitatu hapa jijini Dar es Salaam ambapo Yanga itaikaribisha Singida Big Stars mchezo utakaopigwa uwanja wa Mkapa saa 12:15

Azam watakuwa uwanja wa Azam Complex, Chamazi kuikabili Namungo saa 2:30

Mchezo wa mapema utshuhudia KMC ikicheza dhidi ya Tanzania Prisons saa 10:00 jioni katika uwanja wa Uhuru

Yanga inayoongoza ligi ikiwa na alama 15 sawa na Simba iliyo na mchezo mmoja wa kiporo, ushindi dhidi ya Singida BS utawahakikishia kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo

Kama Yanga watapoteza mchezo dhidi ya Singida BS na Azam Fc kushinda dhidi ya Namungo, kutakuwa na mabadiliko pale juu ya msimamo Azam Fc anaweza kukaa kabla ya mchezo wa Simba dhidi ya Ihefu Fc hapo kesho

Namungo inasaka ushindi wake wa kwanza msimu huu baada ya kuachana na aliyekuwa kocha wake mkuu Cedric Kaze aliyejiuzulu kutokana na mfululizo wa matokeo mabaya

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’