Yanga, Singida BS, Azam, Namungo Fc vitani ligi kuu NBC

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th October 2023


Yanga, Singida BS, Azam, Namungo Fc vitani ligi kuu NBC

Ligi Kuu Bara leo inaendelea tena katika viwanja vitatu hapa jijini Dar es Salaam ambapo Yanga itaikaribisha Singida Big Stars mchezo utakaopigwa uwanja wa Mkapa saa 12:15

Azam watakuwa uwanja wa Azam Complex, Chamazi kuikabili Namungo saa 2:30

Mchezo wa mapema utshuhudia KMC ikicheza dhidi ya Tanzania Prisons saa 10:00 jioni katika uwanja wa Uhuru

Yanga inayoongoza ligi ikiwa na alama 15 sawa na Simba iliyo na mchezo mmoja wa kiporo, ushindi dhidi ya Singida BS utawahakikishia kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo

Kama Yanga watapoteza mchezo dhidi ya Singida BS na Azam Fc kushinda dhidi ya Namungo, kutakuwa na mabadiliko pale juu ya msimamo Azam Fc anaweza kukaa kabla ya mchezo wa Simba dhidi ya Ihefu Fc hapo kesho

Namungo inasaka ushindi wake wa kwanza msimu huu baada ya kuachana na aliyekuwa kocha wake mkuu Cedric Kaze aliyejiuzulu kutokana na mfululizo wa matokeo mabaya


  

More Stories

Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Yanga yarejea kileleni Ligi Kuu ikiibamiza Fountain Gate 2-0
Today, READ MORE β†’
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Kane aifikia rekodi ya Lineker ya mabao 10 kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Simba yalimwa faini 10M, Mabena, Komba wakumbana na rungu la kamati ya saa 72
Today, READ MORE β†’
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Simba yamfuatilia kipa wa Zimbabwe Nelson Chadya
Today, READ MORE β†’
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Zwane kukosa mechi zilizobaki kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Sowah kurejea Singida BS?
Sowah kurejea Singida BS?
Today, READ MORE β†’
Mubiru atua Azam Fc
Mubiru atua Azam Fc
Today, READ MORE β†’
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Ligi Kuu: Yanga mikononi mwa Fountain Gate, mechi tatu kupigwa leo
Today, READ MORE β†’
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Ghana yaandikisha ushindi wa pili kwa Afrika, Uingereza yaanza kwa kishindo
Today, READ MORE β†’
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
DR Congo yapata sare ya kihistoria kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’