Real Madrid wako tayari kujadiliana na Chelsea kuhusu mkataba wa kudumu wa Kepa Arrizabalaga, lakini hawatalipa zaidi ya euro milioni 17.5 kwa kipa huyo Mhispania mwenye umri wa miaka 29 ambaye aliigharimu The Blues takriban euro milioni 71.6 miaka mitano iliyopita. (Sun)
..... download Xtra 90 App



