Hilal - Local - Simba - Yanga

Al Hilal kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
31 Oct 2023
Al Hilal kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa

Klabu ya Al Hilal ya Sudan imetangaza rasmi kutumia Uwanja wa Mkapa uliopo Dar es Salaam, Tanzania katika mechi za hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Al Hilal ipo kundi moja na timu za ES Tunis, Etoile Sportive du Sahel za Tunisia na Atletico Petroleos ya Angola

Kupitia akaunti yao rasmi ya Instagram wameishukuru TFF kwa kuwakubalia ombi lao la kutumia uwanja huo wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 60,000

Al Hilal iliweka kambi nchini Morocco ikikimbia vita vinavyoendelea huko Sudan

Al Hilal imeungana na klabu za Simba na Yanga ambazo pia zinatumia uwanja wa Benjamin Mkapa katika mechi zao za ligi ya mabingwa hatua ya makundi

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
8h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
8h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
8h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
12h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
15h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
16h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
17h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
18h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
19h ago
READ MORE β†’