Balozi wa Uingereza azitembelea Simba, Yanga

Joel JJ By Joel JJ β€’ 31st October 2023


Balozi wa Uingereza azitembelea Simba, Yanga

Mapema leo Balozi wa Uingereza nchini Tanzania David Concar alizitembelea klabu kongwe nchini Simba na Yanga na kufanya mazungumzo nazo

Mazungumzo hayo yalilenga ushirikiano kwenye maendeleo ya soka

Alianzia Osterbay zilipo ofisi za klabu ya Simba na baadae kuelekea Salamander Tower zilipo ofisi za klabu ya Yanga

Kocha huyo pia alipata nafasi ya kushuhudia mazoezi ya Simba Mo Simba Arena na jioni alitarajiwa kuelekea Avic Town kushuhudia mazoezi ya klabu ya Yanga


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.