Mapema leo Balozi wa Uingereza nchini Tanzania David Concar alizitembelea klabu kongwe nchini Simba na Yanga na kufanya mazungumzo nazo
Mazungumzo hayo yalilenga ushirikiano kwenye maendeleo ya soka
Alianzia Osterbay zilipo ofisi za klabu ya Simba na baadae kuelekea Salamander Tower zilipo ofisi za klabu ya Yanga
Kocha huyo pia alipata nafasi ya kushuhudia mazoezi ya Simba Mo Simba Arena na jioni alitarajiwa kuelekea Avic Town kushuhudia mazoezi ya klabu ya Yanga







