Local

Mchezaji Wydad afariki baada ya kupata ajali

Joel JJ By Joel JJ
3 Nov 2023
Mchezaji Wydad afariki baada ya kupata ajali

Klabu ya Wydad Casablanca imetangaza kufariki dunia kwa beki wake wa kushoto, Oussama Faloh (24) ambapo kifo chake kilitokea hapo jana akiwa hospitalini akipatiwa matibabu

Faloh alisajiliwa na Wydad Casablanca dirisha kubwa la usajili lililopita akitokea Klabu ya Angers inayoshiriki Ligi Kuu Nchini Ufaransa

Alipata ajali ya gari wiki tatu zilizopita, ajali hiyo iliyompelekea kupararaizi kisha kupelekwa hospitali kabla ya umauti kumfika hapo jana

Hii ni habari ya kuhuzunisha kwa Wydad ambao bado walikuwa wakisherehekea mafanikio ya kutinga fainali ya michuano ya African Football League baada ya ushindi wa mikwaju ya penato 5-4 dhidi ya Esperance

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
5m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
12h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →