Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za kuwania kufuzu kombe la Dunia 2026 dhidi ya Niger na Morocco

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za kuwania kufuzu kombe la Dunia 2026 dhidi ya Niger na Morocco
