Mashujaa - Singida - Local

Mashujaa ilikuwa nguvu ya soda tu

Joel JJ By Joel JJ
7 Nov 2023
Mashujaa ilikuwa nguvu ya soda tu

Timu ya Mashujaa yenye maskani yake Kigoma jana imepoteza mechi ya nne mfululizo katika Ligi Kuu baada ya kufungwa mabao 3-1 na Singida Big Stars katika Uwanja wao wa nyumbani Lake Tanganyika

Mashujaa ilianza kupoteza pointi ugenini Oktoba 3 kwa JKT Tanzania ikifungwa bao 1-0, ikacheza tena Oktoba 25 dhidi ya Coastal Union na kufungwa 2-0 na ikarudi nyumbani Kigoma Novemba 1 kuikabili Azam FC ambapo Mashujaa ilifungwa mabao 3-0

Baada ya vipigo hivyo, mashujaa imeporomoka mpaka nafasi ya 10 ikiwa na pointi 8 (katika mechi 8 ilizocheza ikiwa na kiporo cha Simba) huku Singida BS ikipanda nafasi ya 7 na pointi 12 katika mechi 9

Mashujaa iliyopanda ligi kuu msimu uliopita, ilianza ligi kibabe ikishinda mechi mbili mfululizo nyumbani na kukaa juu ya msimamo wa ligi kabla ya kulazimishwa sare katika mchezo wa tatu

Mambo yaliwaharibikia walipoanza kusafiri kucheza nje ya Kigoma na hata waliporejea tena nyumbani wakaendelea kupigwa

More Stories

Wizara kuunda kamati kuchunguza mkataba wa jezi timu za taifa
Wizara kuunda kamati kuchunguza mkataba wa jezi timu za taifa
11m ago
READ MORE →
Pyramids ya mokwena haishikiki misri, yaandelea kuongoza msimamo
Pyramids ya mokwena haishikiki misri, yaandelea kuongoza msimamo
1h ago
READ MORE →
EPL kuendelea leo kwa dabi ya London kati ya Brentford dhidi ya Chelsea
EPL kuendelea leo kwa dabi ya London kati ya Brentford dhidi ya Chelsea
2h ago
READ MORE →
Yanga yapambana kuondoa kadi nyekundu ya Aziz Ki kabla ya derby ya simba
Yanga yapambana kuondoa kadi nyekundu ya Aziz Ki kabla ya derby ya simba
5h ago
READ MORE →
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
23h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
23h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
1d ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
1d ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
1d ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
1d ago
READ MORE →