Simba - Local

Mangungu agoma kujiuzulu Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Nov 2023
Mangungu agoma kujiuzulu Simba

Wakati taarifa za ndani kutoka uongozi wa Simba zikibainisha kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo kumtaka Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu kujiuzulu nafasi yake, mwenyewe amesema haoni sababu ya kujiuzulu

Jana klabu ya Simba ilitangaza kumfuta kazi aliyekuwa Kocha Mkuu Robertinho Oliveira baada ya kipigo cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga

Ni baada ya Bodi kukutana na kufikia uamuzi huo hhuku ikichukua hatua ya kutaka kuwawajibisha baadhi ya viongozi akiwemo Mangungu

Mangungu amesema Simba inaongozwa kwa mujibu wa taratibu hivyo hatajiuzulu

"Bodi imefikia uamuzi huo sio mimi. Simba inaongozwa kwa mujibu wa utaratibu. Nijiuzulu kwa sababu gani, kwani timu inafanya vibaya? Tumeporeza mechi moja tu, kwa nini hawakusema nijiuzulu wakati tunashinda mfululizo?, " alihoji Mangungu

Aidha, Mangungu amethibitisha taarifa ya baadhi ya wachezaji kuchunguzwa kwa tuhuma za kuihujumu klabu ya Simba katika mchezo huo

"Kuna taratibu za uchunguzi tunazikamilisha tutawajuza zikikamiika," alisema

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
33m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’