Yanga - Local

Yanga yaichapa Coastal Union 1-0

Joel JJ By Joel JJ
8 Nov 2023
Yanga yaichapa Coastal Union 1-0

Bao la dakika ya 71 lililofungwa na Clement Mzize limeihakikishia Yanga alama tatu muhimu mkoani Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union

Krosi ya Jesus Moloko aliyeingia kipindi cha pili ilitumiwa vyema na Mzize aliyeweka mpira kimiani kwa kichwa

Ilikuwa mechi ngumu, ikumbukwe ni siku tatu tu zimepita tangu Yanga ichuane na Simba uwanja wa Benjamin Mkapa na Wananchi kuibuka na ushindi wa mabao 5-1

Ni aina ya mechi ambazo alama tatu ndio matokeo muhimu zaidi ambayo Wananchi watafurahia lakini walipata upinzani kutoka Coastal Union iliyoingia na mkakati wa kujilinda zaidi

Alama 24 kibindoni Yanga ikizidi kupaa kileleni mwa msimamo wa Ligi

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
4h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
5h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
7h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
7h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
8h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
8h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
9h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
9h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
9h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
11h ago
READ MORE →