Mashabiki na Wanachama wa Klabu ya Yanga leo wameitwa kwenda katika Ofisi za Makao Makuu ya Klabu hiyo zilizopo Mtaa wa Twiga na Jangwani, Kariakoo jijini Dar es salaam kwa ajili ya kunywa supu kusherehekea ushindi wa bao 5-1 walizomfunga mtani wao Simba SC Jumapili iliyopita katika Dimba la Mkapa.
..... download Xtra 90 App



