Wakati huu wa mapumziko ya kalenda ya FIFA, Taifa Stars inatarajiwa kucheza mechi mbili za kuwania kufuzu kombe la Dunia 2026
Mchezo wa kwanza ni dhidi ya Niger utapigwa Novemba 18 huko Morocco na mchezo wa pili ni dhidi ya Morocco ukipigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, Novemba 21
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo huo ambao Stars inahitaji alama zote tatu nyumbani
