Licha ya kutishiwa kushitakiwa na watani zao Simba kwa kutumia logo yao kwenye mabango ya ushindi wa mabao 5-1 ambayo Yanga wanayasimika kwenye mitaa ya jiji la Dar es salaam, Wananchi wameendelea kusimika mabango hayo ya 5G
..... download Xtra 90 App



