Tanzania - Taifa Stars - Yanga - Simba - Azam - Local

Stars safarini Morocco kuifuata Niger

Joel JJ By Joel JJ
16 Nov 2023
Stars safarini Morocco kuifuata Niger

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kimeondoka nchini leo kuelekea Morocco kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu kombe la Dunia 2026 dhidi ya Niger

Mchezo huo utapigwa Morocco Jumamosi, Novemba 18, mji wa Marrakech

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa ndege maalum ya kuipeleka Stars huko Morocco na kuirejesha nchini baada ya mchezo

Novemba 21 Tanzania inakabiliwa na mchezo mwingine dhidi ya Morocco ambao utapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
13m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
12h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →