Tanzania yaichapa Niger 1-0

Joel JJ By Joel JJ β€’ 18th November 2023


Tanzania yaichapa Niger 1-0

Bao la kipindi cha pili lililofungwa na winga Charles M'mombwa limeihakikishia Tanzania ushindi muhimu wa bao 1-0 dhidi ya Niger katika mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya kombe la Dunia 2026

Ulikuwa mchezo ambao pengine Tanzania ingeweza kuibuka na ushindi mnono zaidi kama nahodha Mbwana Samatta na Haji Mnoga wangetumia vyema nafasi walizopata

Ushindi muhimu kwa Tanzania ugenini, alama tatu muhimu kuelekea mchezo wa pili dhidi ya Morocco

Stars inaondoka Morocco kurejea Tanzania tayari kwa mchezo dhidi ya Morocco utakaopigwa Jumanne, Novemba 21


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.