Mlindalango wa zamani wa Uhispania David de Gea, 33, amekataa mkataba wa pauni 500,000 kwa wiki na fursa ya kuunganishwa tena na mchezaji mwenzake wa zamani wa Manchester United Cristiano Ronaldo katika klabu ya Saudia ya Al-Nassr . (Sun)
..... download Xtra 90 App



