Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa taarifa ya klabu ya Simba kufungiwa kusajili na FIFA mpaka pale itakapolipa madai ya klabu ya Teungueth ya Senegal iliyokuwa ikimmiliki mchezaji Pape Ousmane Sakho kabla ya kusajiliwa na Simba
..... download Xtra 90 App



