Simba - Local

Manula nje mechi dhidi ya Asec Mimosas

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 Nov 2023
Manula nje mechi dhidi ya Asec Mimosas

Kaimu Kocha Mkuu wa Simba Daniel Cadena amesema mlinda lango Aishi Manula ataukosa mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Asec Mimosas utakaopigwa kesho Jumamosi katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Akizungumza katika Mkutano na Wanahabari mapema leo, Cadena alisema Manula alipata maumivu ya mguu wakati akiwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa

Cadena amesema kiungo Clatous Chama alirejea nchini jana akitokea Zambia kwenye majukumu ya timu za Taifa hivyo baada ya mazoezi ya mwisho leo itafahamika kama ataweza kutumika leo au la

"Manula tutamkosa katika mchezo wa kesho kwakuwa ana majeraha,Clatous Chama amewasili jana akitokea Zambia,tutaona kama itawezekana kumtumia dhidi ya Asec Mimosas," alisema

Cadena amesema kikosi chake kiko tayari kwa mchezo huo malengo yakiwa kushinda. Awetaka mashabiki kujitokeza kwa wingi kuwaongezea hamasa wachezaji

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
15h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
21h ago
READ MORE β†’