Yanga - Local

Yanga yapotea Algeria, yafungwa 3-0

Joel JJ By Joel JJ
β€’
25 Nov 2023
Yanga yapotea Algeria, yafungwa 3-0

Yanga imeacha alama zote tatu nchini Algeria baada ya kukubali kipigo cha mabao 3-0 dhidi ya CR Belouizdad katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika

Yanga iliruhusu mabao mawili kwenye kipindi cha kwanza na kuruhusu bao jingine katika kipindi cha pili dakika za majeruhi

Ulikuwa ni mchezo ambao Yanga ilitawala kwa muda mwingi lakini ilikuwa ngumu kuipenye ngome ya Belouizdad ambao walicheza kwa tahadhari kubwa na kutumia mashambulizi ya kushitukiza

Yanga sasa inarejea nyumbani kujipanga na mchezo unaofuata dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Disemba 02

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
8h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
8h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
8h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
12h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
15h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
16h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
17h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
18h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’