Kikosi cha Simba kimeondoka Tanzania alfajiri ya leo Ijumaa kuelekea Botswana ambako kesho Jumamosi wanakabiliwa na mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Jwaneng Galaxy
Kila la kheri Simba, matumaini ya Watanzania ni ushindi katika mchezo huo utakaopigwa saa 10 jioni



