Yanga - Local

Yanga yapania ushindi dhidi ya Medeama ugenini

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Dec 2023
Yanga yapania ushindi dhidi ya Medeama ugenini

Mjumbe wa Kamati ya Utendaji klabu ya Yanga Rodgers Gumbo amesema malengo yao ni kushinda mchezo dhidi ya Medeama Fc ambao utapigwa kesho Ijumaa huko Ghana

Gumbo ameongoza msafara wa Yanga ambao ulitua Ghana juzi tayari kwa mchezo huo ambao matokeo ya ushindi kwa Yanga yataweka hai matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali

Gumbo amesema mpaka sasa maandalizi yanakwenda vizuri, timu imepata huduma zote muhimu kutoka kwa wenyeji wao, hakuna matukio yoyote ya hujuma ambayo wamekutana nayo

"Tangu tufike hapa Kumasi kila kitu kinakwenda vizuri, tumepata huduma zote muhimu kutoka kwa wenyeji wetu, niseme tu, hatujakutana na matukio yoyote ya hujuma mpaka sasa"

"Kila timu imejipanga kwenye hatua hii ya makundi hivyo tunatarajia mchezo dhidi ya Medeama hapo kesho hautakuwa mwepesi lakini sisi tunajiandaa na nina uhakika tutapata alama tatu," alisema Gumbo

Yanga leo itakamilisha maandalizi ya mwisho katika uwanja wa Baba Yara, ambao mtanange huo utapigwa Ijumaa, saa 10 jioni (saa 1 usiku Dar)

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’