Geita - Local

Geita Gold yambadilishia majukumu CEO

Joel JJ By Joel JJ
7 Dec 2023
Geita Gold yambadilishia majukumu CEO

Uongozi  wa klabu ya Geita Gold leo umefanya mabadiliko ya kiutendaji katika nafasi ya Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo iliyokuwa inatumikiwa na Bwana Saimon Joseph Shija

Taarifa iliyotolewa na Geita Gold imebainisha kuwa Shija amepangiwa majukumu mengine

Nafasi hiyo kwa sasa itakaimiwa na majukumu yote ya kiutendaji yataratibiwa na Katibu msaidizi wa Klabu hiyo Bwana Ramadhan Bukambu, hadi pale klabu itakapoamua maamuzi mengine

Saimon Shija amehudumu katika nafasi hiyo ya Mtendaji Mkuu wa klabu ya Geita Gold Fc tangu mnamo mwaka 2021

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
1m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →