Manchester United wako tayari kusikiliza ofa kwa kiungo wa kati wa Brazil Casemiro, 31, mlinzi wa Ufaransa Raphael Varane, 30, na winga wa Uingereza Jadon Sancho, 23, huku meneja Erik ten Hag akijaribu kupunguza kikosi chake. (Independent)
..... download Xtra 90 App



