Ronaldo - Nasser - International

Ronaldo aendelea kuweka rekodi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
12 Dec 2023
Ronaldo aendelea kuweka rekodi

Jana Cristiano Ronaldo alipachika goli lake la 50 kwa mwaka huu wa 2023 wakati timu yake Al-Nassr walipowafunga mahasimu wao Al-Shabab kwa magoli 5-2 na kutinga nusu fainali ya Kombe la Mfalme (Saudi King Cup)

Mchezaji huyo wa zamani wa Real Madrid na Manchester United alifunga goli la nne kwenye mchezo huo katika kipindi cha pili

Goli hilo limefikisha magoli 26 katika msimu huu, 16 kati ya hayo yakifungwa katika Ligi Kuu ya Saudia (Saudi Pro League)

Siku chache zilizopita Ronaldo alicheza mechi yake ya 1200 kwenye mchezo dhidi ya Al-Riyadh ambao timu yake ilishinda 4-1. Alifunga goli moja na kutoa ‘assist’ moja kwenye mchezo huo

Ronaldo ndiye mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi kwenye Saudi Pro League msimu huu mpaka sasa

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
21h ago
READ MORE β†’