Manchester United - International - Bayern

Man United yatupwa nje UEFA CL

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 Dec 2023
Man United yatupwa nje UEFA CL

Safari ya Manchester United katika ligi ya mabingwa Ulaya msimu huu ilifikia tamati mapema Jumanne usiku baada ya kupoteza nyumbani kwa Bayern Munich na kusababisha vijana wa Erik ten Hag kumaliza mkiani mwa Kundi A

Baada ya kuchukua pointi nne pekee katika mechi tano za mwanzo, United wakihitaji kushinda ili kuwa na nafasi yoyote ya kusalia kwenye michuano hiyo

Lakini kichapo cha 1-0 kiliwafanya The Red Devils kumaliza katika nafasi ya nne kwenye kundi la UCL kwa mara ya kwanza tangu 2005

Hii ilikuwa kampeni mbaya zaidi ya United kwenye Ligi ya Mabingwa kuwahi kutokea

Klabu ya Manchester ilikuwa haijawahi kupata chini ya pointi sita katika hatua ya makundi

United pia iliweka rekodi mbaya ya kufungwa mabao 15 katika michezo yao sita - zaidi ya timu yoyote ya Ligi Kuu iliyowahi kufungwa kwenye kundi la UEFA CL

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’