Baada ya kuiongoza Simba kwa takribani wiki mbili, Kocha Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha amesema kikosi chake kimesheheni wachezaji wengi wenye uwezo mkubwa lakini ipo changamoto katika baadhi ya maeneo hasa safu ya ushambuliaji
..... download Xtra 90 App



