Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi imejadili maombi ya merejeo (review) ya klabu ya Yanga kuhusu adhabu ya kufungiwa michezo mitatu (3) na kutozwa faini ya sh. 500, 000 iliyotolewa kwa mchezaji Khalid Aucho kupitia kikao cha kamati hiyo cha Novemba 14, 2023
..... download Xtra 90 App



