Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha baada ya kutoka Ligi ya Mabingwa, leo atakuwa na mtihani mwingine kwenye Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar inayonolewa na kocha Meckie Mexime utakaochezwa saa 10:00 jioni katika uwanja wa Uhuru
..... download Xtra 90 App



