Transfer - International

Tetesi za usajili Ulaya, Jumatatu Disemba 18 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Dec 2023
Tetesi za usajili Ulaya, Jumatatu Disemba 18 2023

Juventus inataka kumsajili kiungo wa kati Manchester City na Uingereza Kalvin Phillips mwezi Januari, na nyota huyo mwenye umri wa miaka 28 anaripotiwa kuwa tayari kuhama. (Tuttomercatoweb - kwa Kiitaliano)

Crystal Palace wameonyesha nia ya kumtaka mchezaji wa Arsenal na Uingereza Eddie Nketiah, 24, wakati wa dirisha la uhamisho la Januari. (Football Transfers)

Arsenal na Manchester City zote zinalenga kumsajili kiungo wa kati wa Brazil Douglas Luiz, 25, bila klabu yoyote kutishwa na thamani ya Aston Villa £100m. kwa mchezaji huyo(Football Insider)

Wawakilishi wa winga wa Uingereza Jadon Sancho wanajaribu kulazimisha uhamisho wa kuondoka Manchester United, kwa nyota huyo lakini makubaliano ya kubadilishana wachezaji kumhusisha wing'a huyo mwenye umri wa miaka 23 na Borussia Dortmund huenda yakawa na ugumu sana (Givemesport) (Givemesport)

Chelsea na Manchester City wameomba kufahamishwa kuhusu kiungo wa kati wa River Plate raia wa Argentina Claudio Echeverri, 17. (Fabrizio Romano)

Manchester United inataka kuwaondoa wachezaji msimu ujao ili kumsajili beki wa Real Madrid na Austria David Alaba, 31. (Fichajes kupitia Football Transfers)

Everton wana nia ya kumsajili mshambuliaji mwenye umri wa miaka 23 wa Marseille na Senegal Iliman Ndiaye.(Teamtalk)

Fulham wanafikiriakumsajili kiungo wa kati wa Feyenoord na Uholanzi Mats Wieffer mwenye umri wa miaka 24. (Football Insider)

Manchester City wanatarajiwa kuungana na Real Madrid katika kinyang'anyiro cha kupata sahihi ya nyota wa Girona mhispania Miguel Gutierrez mwenye umri wa miaka 22, (Manchester Evening News)

Kiungo wa kati wa Tottenham na Denmark Pierre-Emile Hojbjerg, mwenye umri wa miaka 28, pia yuko kwenye Orodha ya Juventus ya uhamisho ya uhamisho wao Januari(Tuttosport - kwa Kiitaliano)

BBC

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
2m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
31m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’